Wale wa tuma kwenye namba hii sasa wameibuka na nguvu mpya. Mimi napokea kwa wastani message moja kila siku. Huu ni ushahidi kuwa TCRA na Waziri mwenye dhamana wameshindwa kabisa kulidhibiti hili tatizo.
Mimi nashauri kuwa iwapo hatuna uwezo ndani ya nchi yetu basi tuombe msaada kutoka nje watusaidie kutokomeza hi tatizo "once and for all" Tuanze kwa kukiri kuwa tumeshindwa.
Mimi nashauri kuwa iwapo hatuna uwezo ndani ya nchi yetu basi tuombe msaada kutoka nje watusaidie kutokomeza hi tatizo "once and for all" Tuanze kwa kukiri kuwa tumeshindwa.