Uchaguzi 2020 Ilani ya CHADEMA haijitoshelezi!

Status
Not open for further replies.
Ile ILAN au gazeti la Sani imejaa makatuni Tuu ya Akina lodlofa na kipepe
 
Bekiri Mimi 'Kisera' siwakubali Wapinzani wa Tanzania ila sijafikia na naomba kwa Mungu nisifikie kusema kuwa Ilani yao ni Takataka. Nimesikitika!!
 
Ilani ya chadema ni fupi kama kimini cha joyce wowowo ata tiketi ya dar lux ina page nyingi kuishinda.
Ilani ya chadema ni nzuri, sema una uwezo mdogo kiakili kuelewa mambo mazito na complex. Aliyekuambia ubora wa andiko unapimwa kwa wingi wa kurasa ni nani?
 
Mkuu naungana na wewe ila hata hapo kwenye dampo ni kama umewafanyia upendeleo hiyo ilani ni ya kuiflash kabisa iingie kwenye shimo la maji taka.
 
Mtu akikwita wewe ni CCM atakuwa amekutukana zaidi ya tusi lolote la nguoni maana atakuwa amekufananisha na mleta mada, huyu na wanalumumba wote.
 
Wewe umesoma vizuri ilani ya maccm? Iko kama taarifa ya utekelezaji haielezi nini kitafanyika 2020 - 2025! Nyoko kabisa maccm! Kati ya ilani hopeless hiyo ndiyo bure kabisa!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…