Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,549
Unaambiwa ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni.
Anyway nisiwachoshe msinichoshe ni hivi....
Leo nimeona niingie Facebook kidogo nione nini kinaendelea huko....la haula ile na log in tu naona picha ya jamaa yangu wa zamani.
Jamaa ameposti facebook picha ya harusi yake aliyoifunga tarehe 20 mwezi Wa 8 mwaka huu 2019.
Ikabidi ni comment " Mashallah! Hongera ndugu yangu Khamis kwa kufunga ndoa.
Ile nimecomment haijapita dakika ananitext inbobo wewe hiyo ndoa imeshavunjika mbona.
Dah nilibaki nimeduwaa tu ikabidi ni delete comment yangu.
Vijana ndoa sio sehemu ya kujaribia kama huwezi na hujadhamiria ni vizuri ukatulia kwanza.
Halafu hizi ndoa za kufungwa eti kisa umemkamata binti yako na jamaa sio nzuri hata kidogo. "Oa kutoka moyoni usioe kutoka kiunoni tu"
"Tumia komoni sensi"
Anyway nisiwachoshe msinichoshe ni hivi....
Leo nimeona niingie Facebook kidogo nione nini kinaendelea huko....la haula ile na log in tu naona picha ya jamaa yangu wa zamani.
Jamaa ameposti facebook picha ya harusi yake aliyoifunga tarehe 20 mwezi Wa 8 mwaka huu 2019.
Ikabidi ni comment " Mashallah! Hongera ndugu yangu Khamis kwa kufunga ndoa.
Ile nimecomment haijapita dakika ananitext inbobo wewe hiyo ndoa imeshavunjika mbona.
Dah nilibaki nimeduwaa tu ikabidi ni delete comment yangu.
Vijana ndoa sio sehemu ya kujaribia kama huwezi na hujadhamiria ni vizuri ukatulia kwanza.
Halafu hizi ndoa za kufungwa eti kisa umemkamata binti yako na jamaa sio nzuri hata kidogo. "Oa kutoka moyoni usioe kutoka kiunoni tu"
"Tumia komoni sensi"

