Ikulu sio kwa baba yako

issa mweusi88

Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Jamani, kuna katoto nimekaona Instagram na wapambe wake eti kamechukua form ya kugombea urais na ukiangalia hata sifa za kugombea hakana mana umri wake ni mdogo. Ila nahisi utakuwa mchezo mchafu wa kuchafuana miongoni mwa watangaza nia.
 
ile ni fasihi imetumika kk!dogo anachomaanisha ni jinsi watu wanavyodhalilisha ikulu kwa kuchukua fomu hata kwa wasio na vigezo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…