I issa mweusi88 Member Joined Jun 23, 2015 Posts 7 Reaction score 0 Jun 26, 2015 #1 Jamani, kuna katoto nimekaona Instagram na wapambe wake eti kamechukua form ya kugombea urais na ukiangalia hata sifa za kugombea hakana mana umri wake ni mdogo. Ila nahisi utakuwa mchezo mchafu wa kuchafuana miongoni mwa watangaza nia.
Jamani, kuna katoto nimekaona Instagram na wapambe wake eti kamechukua form ya kugombea urais na ukiangalia hata sifa za kugombea hakana mana umri wake ni mdogo. Ila nahisi utakuwa mchezo mchafu wa kuchafuana miongoni mwa watangaza nia.
C Chanise Member Joined Jun 20, 2015 Posts 23 Reaction score 2 Jun 26, 2015 #2 Labda anagombea urais wa familia yao
F fitofu Member Joined Jun 12, 2015 Posts 7 Reaction score 0 Jun 26, 2015 #3 urais uko sehemu nyingi hata kitale ni raisi wa mateja.
DavidHard JF-Expert Member Joined Nov 4, 2011 Posts 436 Reaction score 285 Jun 28, 2015 #4 ile ni fasihi imetumika kk!dogo anachomaanisha ni jinsi watu wanavyodhalilisha ikulu kwa kuchukua fomu hata kwa wasio na vigezo!
ile ni fasihi imetumika kk!dogo anachomaanisha ni jinsi watu wanavyodhalilisha ikulu kwa kuchukua fomu hata kwa wasio na vigezo!
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,118 Reaction score 5,368 Jun 28, 2015 #5 ikulu sio ya bAbAkO