Ikulu: Rais hajaidhinisha posho za wabunge!

Status
Not open for further replies.

Hivi tunawafukuzaje kazi hawa waajiriwa wetu sisi wananchi ndio mabosi wao!
Cant we sack them? au ndio inabidi tusubiri miaka yote iliyobaki huku wakituzingua na malalamiko yao juu ya posho? Hivi wanajua kuwa wao ndio chanzo cha migogoro hasa huu wa madaktari? Tutaendelea kuwavumilia huku watu wakifa kila siku?
 

Salma,

Je, ni kuwa serikali haikuliona hilo? Au serikali imefanya maksudi ili wabunge wakichachamalia jambo iwakumbushe kuwa kumbuka tukivunja bunge deni lako unafilisiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…