natumbaku Chambeho
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 551
- 209
Wote tunajua kwamba mwezi Oktoba kuna uchaguzi mkuu. Mara kadhaa mambo muhimu kwa nyakati tofauti huwa hushindikana kukamilika na sababu ni kuwa nje ya uwezo.
Sasa ikitokea mwezi Oktoba uchaguzi ushindikane kufanyika kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu, ni taratibu au hatua zipi hufuatwa ikitokae hivyo?
Nawasilisha.
Sasa ikitokea mwezi Oktoba uchaguzi ushindikane kufanyika kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu, ni taratibu au hatua zipi hufuatwa ikitokae hivyo?
Nawasilisha.