Igizo la lockdown: CHADEMA inacheza kamari

watz wa mitandaoni ni mazuzu sana kuliko wale wa vijiweni leo nimeprove
 
Dalili za kifo cha CDM, kurusharusha miguu! CDM imekosa kingozi mwenye maono
MANENO KAMA HAYO ALIANZA KUYASEMA STEVEN WASSIRA KUWA CHADEMA ITAKUFA KABLA YA 2015, AJABU YEYE NDUYE KAFA KISIASA
 
Hawa wazee wa kijijini machame wana akili kuliko genge lote la wabunge wa chadema waliojiweka lockdown.Wana argument za nguvu kuliko kamati kuu ya chadema inayopenda lockdown na wanaielewa loockdown kuliko mbowe na genge lake

Kweli wazee au au vijana ni shida tu iliysababishwa na CCM over 60 years now!
 
Kwahiyo sasa, lockdown yao ni ya uongo
 
We kura yako ni moja tu so haitishi hata kidogo labda mngekuwa kama laki mbili hivi angalau
 
Mods tafadhalini sana,ningependa kuwe na uzi "sticky" unaohusu maana au tafasiri ya maneno mbalimbali yanayotokea kulingana na matukio au nyakati. Uwe kama kamusi au "JFpedia" hivi,maana kuna tatizo kubwa sana la wanaJF wengi kutokuelewa au kupotosha maana ya misemo,maneno na tafsiri mbali mbali.
Kwa mfano,kuna tofauti kati ya "lockdown" na "quarantine",lakini kuna watu wanang'ang'ana kuonyesha kuwa vyote ni kitu kimoja.
Mods nitashukuru mkizingatia hili.
 
Hawatakuelewa wanasaccos subiri mapovu ya OMO!
 

sahihi kabisa
 
Wamemaliza lockdown? Wanarudi walikodhanibkuna korona, wamejiridhisha pako sawa sasa hivi au ndio kiki zenyewe zisizotumia akili..
 
Hahahaha Basi sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…