If you are a single man answer these questions

[emoji3][emoji3][emoji3]Jamani wanaume wa dar mmeshindwa kabisa kusikiliza huyu mdada
I asked someone your and you are because i saw yesterday you are saying your and you are and then i figured that english is not use for you .
Sorry my dear for not write the correct answer.
 
Una tatizo la kushindwa kutofautisha, "your" na "you are".
Hayo ni maneno mawili tofauti ambayo kwa kuyatamka yanaweza Ku sound sawa lakini kwa kuyaandika lazima ujue kutofautisha maana hayana uhusiano kabisa.
Wa tz mnatabia ya kukosoaa sana hata kitu kidogo tu kwani hujaelewa au mpo kwenye mashindano ya kuandika na kuumba maneno yaan hata nukta tu ikikaa pasipopaswa mnasema. Sasa wewe uliyeelewa your na hiyo are hiyo post yako na wewe ungeielezea kwa kingeleza mwenzio si ameandika kwa kingeleza kosoa kwa kingeeza chako na wewe
Naenda shamba nikiludi nikute kingeleza chako
 
Umejuajeee kuwa UMEAMBIWA NI BROKEN KIDHUNGU
 
Just write whatever you want too
We w'll understand it, even for misspelling we understanding due to next words or backs because some of us English is not our mother language. So don't feel bad keep it up.
Waje waniseme na mimi potelea mbali maana hata dalasa la saba sikufika na huo ndo ukweli wenyewe
 
form four bado hawajaenda tu huko advanc na vyuon au!//??

nauliza kama ndo hawa wanatusumbuA,.
 
Have you ever been NOT have you ever be.
 

Hivi kuchanganya "your" na you are ni kitu kidogo?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] tatizo la watu msiojua hampendi kufundishwa mnataka mbaki na ujinga tuu.
Ona ulivyoandika
Kingeleza=kingereza
Nikiludi =nikirudi.
Au napaswa nikurekebishe kwa kutumia lugha uliyoitumia wewe[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].
 

Too=to
We w'll = We'll
Dalasa= darasa.
Ni kweli haujafika darasa la saba. Nimekurekebisha na wewe ukitaka lia.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back in the days, I dance masikioni namsikiliza j.Cole "wet dreams" na rap mwenywe... Ghafla kwa jazba namsikia janja "niggah dontyu sing if can't spell DAT shit ryt" na bana asee inaboa kichizi kujifanya hujui kiswahili Na kingereza cha kuandika shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…