Ielezee hii picha

Popo ndio padri.mi nimevutiwa zaidi na hiyo moccassin.
 
Hii ndoa au matambiko??? Kwanza watu wenyewe wapo getini sijui apo,alafu huyo jamaa wa hapo pembeni mmmmh.
 
Hii taasisi imevamiwa sana sasa hv
No wonder kuna vibweka kila kukicha
Talaka na mafumanizi kila leo
 
hapo ni ishu zinazoendana na nguvu za giza tu, hakuna ubishi wahusika wana associate na mafreemson tu

Sasa kuna mtu kaniwekea mimi hiyo picha kwenye facebook yangu, nimweleweje na alitaka kumaanisha nini kwangu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…