Ideos for sale

hiyo bei sio ya kuja kuuzia humu JF mkuu. Zimeshauzwa nyingi tu kwa bei kuanzia Tsh100,000-Tsh150,000.
 
Hahahaha! Hiki ni kichekesho aisee

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
msimcheke, nyie mnakosea ideos zipo nyingi, atiririke ni ideos gani hiyo
 
amesha-specify kuwa ni ideos google, kwahiyo model tena hatuihitaji cause ni hizihizi zilizozoeleka.
Hapana ideos google zinatengenezwa na makampuni mengi,hata huyu Sapna naye anatengeneza za kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom