hiyo bei sio ya kuja kuuzia humu JF mkuu. Zimeshauzwa nyingi tu kwa bei kuanzia Tsh100,000-Tsh150,000.
Jina la kampuni iliyotoa hiyo ideos na model yake ,sababu kuna ideos nyingi kuna za Huawei, etc
Hapana ideos google zinatengenezwa na makampuni mengi,hata huyu Sapna naye anatengeneza za kwakeamesha-specify kuwa ni ideos google, kwahiyo model tena hatuihitaji cause ni hizihizi zilizozoeleka.