Za saa hizi wana jf,naomba msaada wenu wa idea ya biashara ya kufanya ambayo haitahitaji usimamizi mkali kwani mimi ni mwanachuo nipo mwaka wa mwisho hapo ifm.Nina mtaji wa shilingi milioni moja ninaishi kigamboni dar.Nawatakia siku njema.
acha uswahili wewe kiinglishi chenyewe umevunjavunja, andika kiswahili tu. kama una iadia weka hapa so watu wengi wafaidike ndio maana hapa pakaitwa jamii forum, im sure na wewe umefaidka na aidia kibao za watu generous humu.
kaka kuna idea nyngne haziandiki ila nlitaka kumshauri wazo zur coz yeye ni mwanachuo na bla shaka anataka hela ya kula kila cku angenunua pooltable la laki 6 au 7 akalitaftia pa kuliweka pale kgamboni minimum income ya pooltable ni elf 10 halihtaji yeye kuwepo labda kama atachezesha kamali ambapo ataingza zaidi ya elf 30 kwa setting nzuri ya pooltable na ushauri zaidi anipgie kwa 0658825141 nimwelekeze zaidi
Pia nilikuwa na idea ya kutafuta baa ambayo nitaweka nyama choma na kuku choma,ikiwezekana niweke na chipsi kabisa.Tatizo linalokuja kunisumbua tena hapo ni location na kama ni bar inatakiwa ambayo inawateja wengi zaidi.
kweli hii kitu nasikia inalipa!ila hadi upae hizo sijui wanaita TILL lazima huo mtai utakuwa umebaki robo!nasikia tigo line inauzwa hadi 1m sasa mtaji si utaishia kununua hiyo line tu!
Hapana sijampigia,kwani nadhani ameshaziandika idea hizo humu humu.Nimeona inatosha, pia ni vizuri zaidi iwe faida kwa wote hili suala lizungumzwe humu humu.
Mzigo waliokamatwa nao wakina agness masogange unalipa sana na sio kesi,ngoja afande kova aje akuekeze cha kufanya,ila ushauri wng mie kwa mtaji huo biashara ya, chips itakulipa,tafuta location nzuri tu