Idadi ya mikoa ya Tanzania na wilaya zake

dtj

JF-Expert Member
Nov 29, 2014
1,333
1,379
Wakuu.

Kama kichwa kinavyosema naomba kujua odadi ya Mikoa na Wilaya za Tanzania bara pekee.

Natangaliza shukrani.
 
Mikoa mipya ni pamoja na Njombe, Simiyu, Songwe... I think na katavi.. Jumlishia na ile ishirini ya zamani...
 
Mikoa ukiweka na Songwe itakuwa 30 au 31 kwa bara,wilaya hizo hata sisonje na kumeza kwake anaweza asijue ni nyingi sana,toka shule ya msingi sijawahi kuona atlasi achilia kuisoma na sijui kama kuna ambayo ni updated kwa mikoa mipya kama simiyu,Geita,Katavi,Njombe n.k
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Jamla ya mikoa ni 31 Ile ya Zamani ilikua 26 na mpya 05 ambayo ni songwe, katavi, njombe, simiyu na Geita. Ile ya Zamani ngoja nijaribu pia kuiweka hapa
1. Mara
2.mwanza
3.shinyanga
4. Tabora
5. Singida
6.dodoma
7. Morogoro
8. Pwani
9. Dar es salaam
10. Arusha
11. Kilimanjaro
12. Manyara
13. Tanga
14.kigoma
15. Kagera
16. Rukwa
17. Lindi
18. Mtwara
19. Mbeya
20.iringa
21.Ruvuma
Mingine sikumbuki japokua naona kama nimetaja yote
 
Jamla ya mikoa ni 31 Ile ya Zamani ilikua 26 na mpya 05 ambayo ni songwe, katavi, njombe, simiyu na Geita. Ile ya Zamani ngoja nijaribu pia kuiweka hapa
1. Mara
2.mwanza
3.shinyanga
4. Tabora
5. Singida
6.dodoma
7. Morogoro
8. Pwani
9. Dar es salaam
10. Arusha
11. Kilimanjaro
12. Manyama
13. Tanga
14.kigoma
15. Kagera
16. Rukwa
17. Lindi
18. Mtwara
19. Mbeya
20.iringa
21.Ruvuma
Mingine sikumbuki japokua naona kama nimetaja yote
Manyama=Manyara
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Kwa Tanzania Bata ni
1.Dar es salaam
2.Tanga
3.Pwani
4.Arusha
5.Mara
6.Kilimanjaro
7.Simiyu
8.Geita
9.Mwanza
10.Shinyanga
11.Kagera
12.Kigoma
13.Tabora
14.Katavi
15.Rukwa
16.Mbeya
17.Songea
18.Ruvuma
19.Lindi
20.Mtwara
21.Iringa
22.Morogoro
23.Dodoma
24.Singida
25.Songwe
26.Manyara

Kwa habari za idadi ya wilala wanaojua idadi ni wakazi wa mikoa husika.

Tabora:
Uyuwi
Nzega
Igunga
Skonge


Kigoma:
Kakonko
Kibondo
Buhigwe
Uvinza
Kasulu
Kigoma

Katavi:
Tanganyika
Mpanda
Mlele
Nsimbo

Rukwa:
Sumbawanga
Karambo
Nkasi

Dar:
Ilala
Kinondoni
Ubungo
Temeke
 
  • Thanks
Reactions: dtj
umefurahisha ulivyotaja namba 1 adi 9 kwa kufata barabara ya kati.



QUOTE="naan ngik-kundie, post: 19108167, member: 229898"]Jamla ya mikoa ni 31 Ile ya Zamani ilikua 26 na mpya 05 ambayo ni songwe, katavi, njombe, simiyu na Geita. Ile ya Zamani ngoja nijaribu pia kuiweka hapa
1. Mara
2.mwanza
3.shinyanga
4. Tabora
5. Singida
6.dodoma
7. Morogoro
8. Pwani
9. Dar es salaam
10. Arusha
11. Kilimanjaro
12. Manyara
13. Tanga
14.kigoma
15. Kagera
16. Rukwa
17. Lindi
18. Mtwara
19. Mbeya
20.iringa
21.Ruvuma
Mingine sikumbuki japokua naona kama nimetaja yote[/QUOTE]
 
Jamla ya mikoa ni 31 Ile ya Zamani ilikua 26 na mpya 05 ambayo ni songwe, katavi, njombe, simiyu na Geita. Ile ya Zamani ngoja nijaribu pia kuiweka hapa
1. Mara
2.mwanza
3.shinyanga
4. Tabora
5. Singida
6.dodoma
7. Morogoro
8. Pwani
9. Dar es salaam
10. Arusha
11. Kilimanjaro
12. Manyara
13. Tanga
14.kigoma
15. Kagera
16. Rukwa
17. Lindi
18. Mtwara
19. Mbeya
20.iringa
21.Ruvuma
Mingine sikumbuki japokua naona kama nimetaja yote
Umeacha mikoa yote mitano mipya ambayo ni Geita, Simiyu, Njombe, Katavi na Songwe
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom