Hauna kosa lolote kuongelea hili swala, ni sawa na utoe sentensi hii "watu wamekula", kwa mwenye mawazo chanya ataona tu kwamba umekurupuka kutoa sentensi kama hiyo, na ndicho ulichokifanya hapa,
am interesting in marketing as well as ict so mi nmekuelewa but nafkri ulitakiwa kujazia nyama kidogo kwenye thread yako ili wadau wakusome vizuri ni hayo tu mkuu!!:tape2:
am interesting in marketing as well as ict so mi nmekuelewa but nafkri ulitakiwa kujazia nyama kidogo kwenye thread yako ili wadau wakusome vizuri ni hayo tu mkuu!!:tape2: