IceBucket Challenge yaonyesha tulivo wajinga...

IceBucket Challenge yaonyesha tulivo wajinga...

NullPointer

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
3,461
Reaction score
2,275
Ukitaka kuamini waafrika wanafata mkumbo kila kitu bila kujua wanachofanya angalia IceBucket challenge ambayo imesambaa sana kwenye social media sites, sasa hadi waafrika nao wanaunga mkono kila mtu anamnominate mwenzake..

Swali langu, hivi wanajua hata maana ya hii challenge? hii ni kwa ajili ya ugonjwa wa ALS ambao inshort cases zake hata africa hazijawahi sikika, ziko marekani, tunawasaidia kuhandle matatizo yao huku yetu bado yamejaa.. ugonjwa wenyewe ukilinganisha na kitu kama ebola ule hauna hatari kabisa, si contageous kwamba unaambukizwa kutoka kwa mtu moja kwenda mwingine.. sasa badala waafrika tukae angalau tuseme tuchangie kutatua matatizo yetu tuliyo nayo ambayo ni mengi mno, tunakaa kuwatatulia matatizo madogo madogo US, kwanza wana hela za kutosha tyr hadi sasa...

Hii ignorance ya afrika ni next level, na hamna kinachofurudisha nyuma kama ignorance, tusianze kusingizia serikali kwanza huku sisi wenyewe hadi mambo madogo haya yanatupiga chenga..
 
Labda wewe hufuatilii vzur,wapo waafrika ambao wamekua nominated hata wakasema wanatoa sapoti pia hata kwa ebola..mfano SEF SAMUEL ETO'O FILS


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe ndio mjinga. Mwafrika pia anayo nafasi na wajibu wa kusaidia wengine hapa duniani, ni vile umezoea kuwa ww ndio wa kusaidiwa na sio kusaidia wengine.

Unapoona tumeletewa msaada wa barabara,si kwamba waliotupa msaada kwao shida zimeisha. Napenda kuchukua nafasi hii kukukumbusha kuwa, km ww na familia yako ni wajinga, usitutusi Waafrika wote.....gadem shit
 
Naku nominate wewe uchangaie hata shamba lako basi
 
Africa hata maji ya kufanya ice bucket challenge tabu.
 
Back
Top Bottom