CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Mambo ni faya mambo ni motooo jameni, Florent Ibenge baada ya kujiuzulu kazi pale AS Vita katua kwenye mpunga mnene huko Morocco na inasemekana katika wachezaji alioingia nao hapo klabuni ni Djuma shabani.
Kama habari ya Shabani itakuwa kweli itabidi Wallace karia ajiuzulu maana TFF wameizidi kuionea yanga na kuhakikisha haipati wachezaji wazuri na hata mitambo ya mabao ikitua yanga huwa inafanyiwa fitina za waziwazi kabisa kama vile mitambo hiyo ya mabao kulogwa bila shirikisho kuchukua hatua stahiki au team ndogondogo kuikamia yanga baada ya kuahidiwa kiasi cha fedha na team fulanifulani
fulanifulani
Kama habari ya Shabani itakuwa kweli itabidi Wallace karia ajiuzulu maana TFF wameizidi kuionea yanga na kuhakikisha haipati wachezaji wazuri na hata mitambo ya mabao ikitua yanga huwa inafanyiwa fitina za waziwazi kabisa kama vile mitambo hiyo ya mabao kulogwa bila shirikisho kuchukua hatua stahiki au team ndogondogo kuikamia yanga baada ya kuahidiwa kiasi cha fedha na team fulanifulani
fulanifulani