Ibada ya Shetani Mwanza mjini.

Ibada ya Shetani Mwanza mjini.

Ciprofloxacin.

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
1,583
Reaction score
2,702
Wanajamvi, ijumaa ya wiki hii kuna ibada ya kumwabudu Shetani ktk jiji la Mwanza.
Ibada hii itaanzia ktk Nyumba maalumu iliyopo eneo la Kapri point na kisha itaishia katikati ya ziwa Victoria Kwa wanachama hao wamwabudio ibilisi kushuka chini ya Maji mengi.
Hii ni ibada maalumu ya matajiri tu.

Hapa ndipo ibada hiyo itahitimishwa saa 9 alfajiri, inaanza saa 6 usiku.
 
Eti ni uhuru wa kuabudu, acha niongee na ibilisi asitokee siku ya ibada.
 
duh.... this is too much dunia inapotea sasa binadamu ni muda wa kumrudia Mungu tukumbuke hatutaishi milele hapa duniani ipo siku itakuwa mwisho wetu
 
Back
Top Bottom