lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,805
- 4,374
Ibada ina raha yake, tena sana,unaweza kwenda kwenye nyumba ya ibada ukiwa na matatizo mengi sana lkn ukisikiliza mahubiri matatizo yako yanahisha kabisa,kweli neno la mungu ndio njia ya kweli na uzima, asante mungu kwa kunifikisha hapa nilipo leo