CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 560
- 2,087
Wakuu nna tatzo na simu yangu, nna hyo simu mfano nikipigiwa unashangaa imejizima ghafla, halafu inajiwasha, na hata ukiplay music unashangaa ghafla imezima yenyewe ikiwaka inachange level ya betri unakuta inaandika asilimia 1 au 90 mara 70 na unakuta labda ilikuwa kwenye 85%
Shida nini hapo?
Shida nini hapo?