I`m looking for a used car engine!

rajoh

Senior Member
Joined
Jun 2, 2011
Posts
174
Reaction score
142
Wadau nina gari aina ya Renault. Natafuta engine ya Gari ndogo aina ya Toyota yenye cc around 1500. Mafundi wameniambia inawezekana kufanya modification na kuiweka gari katika hali ya kawaida. Tafadhali mwenye nayo ani PM.
 
Nenda maeneo ya ilala karibu na machinga complex kuna maduka kibao..
 
Nenda Maeneo ya Gerezani Utapata za Wizi Kibao Pesa yako tu
 
Asanteni wakuu! Nitajongea hapo. . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…