Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,661
- 9,966
Shostitoooosss/swadataaaa
Mie sipendelei utumiaji wa simu/kamera baada baada ya kuingia kwenye kona 4..kiuhalisia kuridhiana kwenda ktk chumba na kuanza kuchojoana nguo ni jambo la kuthaminiana. Unakuta mshabiringishanaa biringishanaa huku na kule chokest mbayamnapumzika mwenzio anaamua kukupiga picha ukiwa bila.......,
Kuanza tuanzane kwa maneno matamu (stht, baby, habuba, la azizi,my heart beats, my blood, everything)..haya maneno ni ya kejeli
Kuishia tuishie na matusi na kutupa picha za uchi mitandaoni
Unanikomooa lakini mwosha huoshwaaa.
Moyo wa unayelala/mvulia nguo nae ni kiza kineneeee
Hebu tuwe na ka utu
kuweka/kutumia picha ya mtu lazima awe ameridhia (vinginevyo akihamua kukushitaki/kutumia sheria utaishia segerea)
mwale wenye vibamia poleni
Mie sipendelei utumiaji wa simu/kamera baada baada ya kuingia kwenye kona 4..kiuhalisia kuridhiana kwenda ktk chumba na kuanza kuchojoana nguo ni jambo la kuthaminiana. Unakuta mshabiringishanaa biringishanaa huku na kule chokest mbayamnapumzika mwenzio anaamua kukupiga picha ukiwa bila.......,
Kuanza tuanzane kwa maneno matamu (stht, baby, habuba, la azizi,my heart beats, my blood, everything)..haya maneno ni ya kejeli
Kuishia tuishie na matusi na kutupa picha za uchi mitandaoni
Unanikomooa lakini mwosha huoshwaaa.
Moyo wa unayelala/mvulia nguo nae ni kiza kineneeee
Hebu tuwe na ka utu
kuweka/kutumia picha ya mtu lazima awe ameridhia (vinginevyo akihamua kukushitaki/kutumia sheria utaishia segerea)
mwale wenye vibamia poleni