Pole sana na hongera kujifungua mtoto(kama ni kweli),
Vipi huwezo wa kumlea mtoto huna?
Jana saa tatu na robo asubuhi.
Alikua mpenzi.Ila nawaza labda nilikua mchepuko wake.Mama mtoto!
Mistake ilishafanyika!
But mtoto wako is never a mistake!
Kuwa baba na mama kwa Huyo binti unaweza ukiamua!
Bado Lakin maswali niliyokuuliza yanahitaji majibu ili tujue tuna deal na tatizo kwa position ipi!
Unashangaa nini?
Huwezi jua yuko kwenye hali gani mpaka akaamua kuandika hapa kuomba ushauri lakini wewe ulivyo na akili unakuja kuuliza maswali ya kijinga kijinga hapo baadala ya kumtia moyo dada wa watu halafu ukiambiwa ukweli unaleta vitisho vyako hapa eti unikimbize humu kwa lipi ulilo nalo wewe, jiheshimu.
Relaaax!
You need to relaax!
Ni ngumu Lakini lazima urelax!
Unakaa na mtu nyumbani?
Unafanya kazi?
Unaweza kumudu kulea Huyo mtoto!
Kwa sasa relax!
Unahitani utulivu wa mwili na akili kuliko unavyofikiri!
Binti yako anakuhitaji
Na Anakupenda sana!
Just look at her utaona alivyo such a blessing!
Yees she is a blessing!
Mkumbatie akunyanyue ulipogota na utayatazama maisha upya!
Hongera kwa kupata mtoto, jipange mwenyewe tu kulea huna la kufanya,utu au mapenzi hayalazimishwi,ila na wewe best yetu una makosa sababu miezi tisa si mchezo usimwambie mtu kweli na hali ukijua swala la mimba linahusisha watu wawili!! kwa kweli ana haki ya kukataa si rahisi mtu kukubali,kwanini umfiche ulikuwa na nini nyuma ya pazia?
Asante na ni mtoto kweli siwezi danganya.Uwezo ninao kwa sasa ila kwa siku zijazo sidhani kama nitaweza itabidi nitegemee ndugu hadi nitakapopata kazi tena.
Habari,nashukuru mungu jana nijifungua salama mtoto wa kike ila baba yake kaniambia i dont want it and i have nothing to do with it.Nimelia sana nimeumia sana sijui hata nifanyaje mwenzeni anadai kua kwa nini siku mwambia mapema kua mimi ni mjamzito nikweli siku mwambia mapema sababu sikutaka kumtisha na sikutaka afikiri nilitaka kupata mimba kwa kili nilipopima the test always came negative mbaka nilipoamua kuenda hospitali.Sikuitoa sababu kwa imani niliyo nayo kwa mimi si kitu rahisi.Nimejaribu kumuelewesha,kumuomba na kumbembeleza pia lakini waapi kabadirika sio yule tena.Kumpenda na mpenda sana yani nashindwa kuelewa nifanyaje sasa nimemuomba basi tusaidiane kulea mtoto nakubali relationship iishe mtoto sio wangu peke yangu.Siku zote nilikua careful yani hata siku iliyokua safe sikutaka akojoe ndani sasa sijui what happened. Nampeda sana na natamani tungelea binti yetu pamoja kama kuna uwezekano.Jamani members wa humu naomba mniambie nifanyaje na nimuambie ni nini huyu mtu maana mimi maneno yameisha also mnishauri nifanyaje am really hopeless right now.I wish ningekua na maneno makali ya kumgusa moyo wake.kejeli na matusi sitaki..
Hata mimi nashangaa! Ajifungue jana tarehe 2 Julai, hatujui saa ngapi; ajiunge na JF juzi tarehe 1 Julai, leo 3 Julai aanze kuandika na kulalamika humu JF??? Khaaa!!!!
Kama haitoshi, mimba miezi tisa ilikuwa haionyeshi positive... eti kila akipima negative.... tumbo nalo???? Baba wa mtoto hakujua hakutaka kumtisha.....!!!! du!!!! jamani loooo utunzi mwingine!
aisee pole sana....wataalamu wa ushauri watasema neno
Wanajirudigi kweli?Kwa uzoefu wangu
Let it go,usimlazimishe hata kidogo,akili itamkaa vizuri atarudi tu.
Kwa sasa cha kufanya lea mwanao wala usitake kumkomoa kwa kumletea fujo,wewe mpe updates tu za mtoto anavyo endelea ila usimuombe hata senti wala kumpa demands zozote zile,
C'monNilikua naishi kwangu ila imenibidi nilirudi kwa wazazi wangu mimba ilipofika miezi tisa kwa sasa niko kwetu.She is so cute yani nikimuangalia nikiwaza hana baba naumia sana.