I beg to differ about BSS


Ha haaa sasa mkuu kama mshiriki mwenyewe kaja kavaa sarawili chini ya masaburi na kufuli lote kalianika nje aambiweje?
 
TBC hawana program watamzingua tu, ila sababu hamna jinsi inabidi tu avumilie tu na hao jamaa ambao hawawezi kusimami ratiba zao.
Hilii kwa kweli nakuunga mkono TBC hawana program wanazingua sana bila hata taarifa kuna ila series ya DouDou na wakwe zake ilikatishwa bila taarifa mpaka wa leo sijui iliishia wapi mbali ya hivyo vipindi vingi vikiwa vya muendelezo hukatikia njiani bila taarifa. Naona program zao hazijasimama. Leo hivi kesho vile.

Bora StatTV na ITV nawakubali.
 
Ha haaa sasa mkuu kama mshiriki mwenyewe kaja kavaa sarawili chini ya masaburi na kufuli lote kalianika nje aambiweje?
Haha haswa kwa vijana wa sasa wanaovaa suruali halafu chupi ndo inakuja juu wakiija sharoharo. bora tu waambiwe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…