bendaki
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 952
- 346
Ndugu wana JF,
Habari za asubuhi.
Jana niliangalia mkutano mkuu wa CCM kiukweli walijitanua kikweli kweli.
Nilimsikia Mwenyekiti wao akiagiza washinde kila uchaguzi na waongeze wanachama ili wawe wengi.
Nilijiuliza hawa CCM wanazuia wapinazani wasipige siasa kuongeza wanachama wao. Wana wawekea kila vipingamizi ili turudi chama kimoja.
Lakini nimeangalia kero za watanzania kama zina kabiliwa, hasha maisha ni magumu kweli kweli huku pesa zinakusanywa lakini wanajipendelea kwenye matumizi. Hakuna anaye wafikiria wakulima ambao ni maskini na ni 80% ya Watanzania wote.
Sasa itokee uchaguzi uwe wa haki kuanzia kampaini hadi kupiga kura na kutangazwa mshindi, CCM nafasi yake mnaiona inaweza ikawaje?
Habari za asubuhi.
Jana niliangalia mkutano mkuu wa CCM kiukweli walijitanua kikweli kweli.
Nilimsikia Mwenyekiti wao akiagiza washinde kila uchaguzi na waongeze wanachama ili wawe wengi.
Nilijiuliza hawa CCM wanazuia wapinazani wasipige siasa kuongeza wanachama wao. Wana wawekea kila vipingamizi ili turudi chama kimoja.
Lakini nimeangalia kero za watanzania kama zina kabiliwa, hasha maisha ni magumu kweli kweli huku pesa zinakusanywa lakini wanajipendelea kwenye matumizi. Hakuna anaye wafikiria wakulima ambao ni maskini na ni 80% ya Watanzania wote.
Sasa itokee uchaguzi uwe wa haki kuanzia kampaini hadi kupiga kura na kutangazwa mshindi, CCM nafasi yake mnaiona inaweza ikawaje?