Hawa wote malaya tu.Ona hayo mapaja ya gigy yamegoma mkoro sijui ndio anaanza hadi yanatia kichefuchefu.
Huyo mwezie hizo ndala hapo kifuani sijui ndio anaona fashion hata sielewi.
Hawa wote malaya tu.Ona hayo mapaja ya gigy yamegoma mkoro sijui ndio anaanza hadi yanatia kichefuchefu.
Huyo mwezie hizo ndala hapo kifuani sijui ndio anaona fashion hata sielewi.
Asante ndugu kwa kusahihisha.Ujue watu wengi sana hua wanakosea kunimention hadi itokee bahati nipite kwenye uzi husika ndio nione.
Naumia maana mtu anaweza kuhisi nina dharau nini.....si unajua tena?
Huyo aliyejianika ambaye ndie umeanza kuweka picha yake ukiuliza ni nani anaitwa Gigy money ni video queen.
Anaforce umaarufu sana maana anajidai na mziki anaweza kufanya pia.
Yupo kwenye video nyingi tu ila the latest ni ile ya diamond nasema nawe.
Huyo aliyejianika ambaye ndie umeanza kuweka picha yake ukiuliza ni nani anaitwa Gigy money ni video queen.
Anaforce umaarufu sana maana anajidai na mziki anaweza kufanya pia.
Yupo kwenye video nyingi tu ila the latest ni ile ya diamond nasema nawe.