Huyu ni mwanaume mkweli!!!!

Jiulize, ana sababu gani ya kuogopa kupima UKIMWI kama kweli anakupenda kwa dhati na yeye pia anaipenda afya yake? Kuna kitu hapa. Fungua akili, usikubali kuingia kwenye shimo kizembe hivyo. Hataki kupima, achape lapa!
asante kwa ushauri sababu mwenyewe huwa nakosa raha nakujiulza kwanini akatae kupima ina maana ananiamini mimi sana kuliko maisha thank for your advice!
 
kiukwel sijawahi kufanya mapenzi ata siku 1 na yeye analijua hilo na siyo kwamba nilikuwa nambania tatizo ata kwa mda huu naweza fanya naye ila kupima ataki kabisa.

....
(Duh! Mwenyewe ukinitajia kupima unanireti down!!)
Hahahahahaaaa!
....
Kama hataki kupima usimpe kipochi chako!
Hata kwa ndomu uskubali!
Ebbo! Atakataaje kupima!!?
 


Sipati picha wakati unaandaika haya maneno ulikuwaje he he he he ndo maana naipenda jf
 
Vitu vingine mi huwa naona ni story tu.
6 yrs, duuh!! Huyo jamaa hana sera kbs.
 
"don't make yourself square into the round peg"
 
Sipati picha wakati unaandaika haya maneno ulikuwaje he he he he ndo maana naipenda jf

Nilikuwa kawaida kabisa.......................!!!!!!!!!!!!!!!
Endelea kuipenda JF zaidi!!!
 
usikubali kumpa kipochi manyoya chako si ajabu ana maradhi huyo
 
Dada pole sana,kuwa makini na jamaa yako,angekuea na nia ya kukuoa angeendelea kukusubiri na kuvumilia,pili ogopa hasa anapokuambia hana haja ya kupima ukimwi,huyo bila shaka anao anataka akumwagie kisha asepe,kwa maana kama nia ingekuwa ni kutaka mapenzi na umempa sharti la kupima mbona hilo rahisi tu,ningekuwa mimi wala nisingelaza damu,kuwa makini,jk alisema akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Zipo story zinazomtatisha kuhusu nyie kina dada. Wapo wenye k zenye harufu kali! So unataka kumuuzia mbuzi kwenye gunia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…