Dada pole sana,kuwa makini na jamaa yako,angekuea na nia ya kukuoa angeendelea kukusubiri na kuvumilia,pili ogopa hasa anapokuambia hana haja ya kupima ukimwi,huyo bila shaka anao anataka akumwagie kisha asepe,kwa maana kama nia ingekuwa ni kutaka mapenzi na umempa sharti la kupima mbona hilo rahisi tu,ningekuwa mimi wala nisingelaza damu,kuwa makini,jk alisema akili za kuambiwa changanya na za kwako.