Huyu ndiye yuleyule Magufuli, au tumtarajie mwingine?

Simtetei Magufuli ! Ila ni kati ya wale watendaje ambao wanauma na kupuliza. Kuna wengine wanauma hata mfupa hawaachi.
Ila inshort ni MAAFA tu.
 
Mimi naishia hapa,Magufuli si fisadi na nitaendelea kuamini hivyo mpaka kufa
 
Crashwise maswali yako ni mazuri naomba mtumie mbunge wako akamuulize waziri bungeni utapata majibu safi toka Wizarani na sio hapa

Kama hunajibu siyo lazima uandike, Inamaana mleta mada hana mbunge kwanini huja mwambia ampelekee mbunge wake

Mkuu JokaKuu

asante sana kwa majibu yako
 

Magufuli hoyeeeeee!!
 
1. plot zile sasa zina thamani ya mabillion. 2. Nyumba zile zilikuwa karibu na maofisi mufanyakazi angeweza kutembea kwa mguu. 3. Sasa wanaishi mahotelini au wamepata nyumba nje ya miji kila Siku kwa sababu ya traffic jams wanafika ofisini saa 4.00 na kuanza kutoka mapema. nk nk.
 
Hoja ni kuwa hatufai kwa mengi tu! Na kuna wizi wa kutisha tanroad ambao ulisemewa na boss mpya wa CAG na hakuna majibu hadi sasa. Kivuko cha bagamoyo ni mfano mwingine na hakuna meneja wa tanroad hata mmoja aliyefukuzwa kazi kwa ubadhirifu.
Na hii mishangao yake (mashikolo) ya huduma za jamii uwa mbovu ni kutuhadaa tu hakuna jipya atakaloweza kufanya kwani sumu ni ileile kinachobadilishwa ni bomba la sindano tu. Tumkatae kwani lengo lake ni kwenda kuwalinda mafisadi wenzake waliojaa uoga wa kwenda segerea.
 
Hzo nyumba zilikuwa za Watanzania,wamepewa Watanzania shido ipo wapi?Zaıdı hapa nı wivu.Hatuwezi nufaika sawa hata tungekuwa wajamaa kwa kiwango cha juu kabisa!!
 
Hivi ile kesi iliyopewa jina mtaani "samaki Wa magufuli"iliishaje?serikali ilishinda kesi!,maana magufuli aliishupalia sana!
 
Ccm bana mnanifurahisha sana,kwenye uuzaji wa nyumba za umma mnasema ni baraza la mawaziri liliamua ila kwenye issue ya Richmond baraza la mawaziri na mwenyekiti wake hawatajwi,janga kweli kweli
 
Hzo nyumba zilikuwa za Watanzania,wamepewa Watanzania shido ipo wapi?Zaıdı hapa nı wivu.Hatuwezi nufaika sawa hata tungekuwa wajamaa kwa kiwango cha juu kabisa!!
Mkuu umetisha sana,yaani hata Escrow si ufisadi na wazungu kutunyima misaada wanatuonea wivu maana ile pesa ilikuwa ya watanzania na waligawana watanzania.

magufuli aache kudanganya umma Kwamba ataanzisha mahakama ya kumhukumu mafisadi maana mafisadi ni watanzania na wana fisadi Mali ya watanzania aache wivu wake wa kike,atavalishwa kanga kwenye jukwaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…