Mimi naungana nao ktk imani yao hiyoa, kwani hawaja mdhuru mtu hata sasa.
Kuna watu tunaamini na kuabudu mungu na kusoma kitabu kilicho shushwa toka juu(sijui kwa njia gani?)
Wafira.ji ni sisi wa dini takatifu,
Magaidi ni sis watakatifu,
watuhumiwa wengi mahakamani ni sisi watakatifu,
wagombea mali za urithi ni sisi watakatifu,
maandamano ya kijinga jinga ni sisi watakatifu,
kusoma shule ni anasa ni sisi watakatifu,
Chuki na ulipizaji visasi ni sisi wa dini takatifu,
Makanisa yanachomwa na sisi watakatifu,
Mungu wetu watakatifu si msafi kama yule wa kenya,endelea kukataa kukubali