damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,465
Mbona wehuwAtupu
Dunia imekwisha
Mbona wehuwAtupu
Mungu gani huyo kachokaaa! Waungu wote wanaokunya siwakubali.
Kwani mungu Yesu na huyo mungu wa Kenya wana tofauti gani? Au mnadharau kwa kuwa huyo ni mweusi? Aanhaaaa nimeshajuwa, mmemkubali yule mungu Yesu kwa sababu yule ni mzunguuu!!!
mbona hayo yapo c unaona.hata ww unaamin kuhusu mudy aliyeoa watoto wa miaka6
Huyo mungu ni mwakilishi wa shetani hapa duniani.
Hali zenu wanajf,
Katika pitapita zangu, nimekutana na hii:
Ana patikana eneo la Kongoni wilayani Likuyani hukoo Kenya.
Yeye ni Mungu mtu na watu huenda kumwabudu yeye kila Jumamosi.
Picha hizo ni watu wakiwa kwenye gwaride kabla ya sala
Mtu akiomba kwa unyekevu mbele za Mungu.
Mungu mwenyewe.
kutoka 20:5 Usivisujudie wala
kuvitumikia; kwa kuwa mimi,
Bwana, Mungu wako, ni Mungu
mwenye wivu; nawapatiliza
wana maovu ya baba zao, hata
kizazi cha tatu na cha nne cha
wanichukiao,