huyu naye anataka mabadiliko

huyu naye anataka mabadiliko

chaikavu

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2015
Posts
760
Reaction score
473
CMXr3h6WgAAg7Cc.jpg
 
Ukawa mtaishia kuwa ze comedy tu.vipaji vya burudani na sanaa mnavyo lakini kuongoza hamuwezi.
 
Ukawa mtaishia kuwa ze comedy tu.vipaji vya burudani na sanaa mnavyo lakini kuongoza hamuwezi.

ccm ni wataalam wa kucheza lumba jukwaani na kushikana chuchu kama kina kinana na kikwete pale Dodoma!
 
Wamechoshwa kupelekwa kwa waganga na watawala,
hivyo nao wanahitaji mabadiliko walau watimize siku zao.

Wanyama wanalia,albino wanalia,viongozi wakuu wanalia bungeni
hakuna wa kumwokoa mwenzie chini ya uongozi uliopo,
kila mtu amechoka ,sasa na wanyama pia
imebaki siku moja hata jogoo watawika "peopleeeees"
 
Ukawa mtaishia kuwa ze comedy tu.vipaji vya burudani na sanaa mnavyo lakini kuongoza hamuwezi.
Ndiyo Mzee@jingalao
hili jina nimelipenda,hivyo sikupata shida na post yako.
asante kunifurahisha.
 
Ukawa mtaishia kuwa ze comedy tu.vipaji vya burudani na sanaa mnavyo lakini kuongoza hamuwezi.

Tupo tayari kujitoa mhanga kuindoa ccm madarkani kwa ajili ya watu kama ww hujui nn kinaendelea ndio maana unaropoka
 
Amechoka kuliwa anataka watu wale kitimoto..
 
Back
Top Bottom