Ata mimi dem dem wangu ameniambia nimnunulie mapela kwa baati mbaya skua na ela. eti amekasilika ata nikipita nje kwao anaingiaga ndani. nilijalibu kumtuma lafiki yake lakini amekataa kwenda. uyo dem hana simu coz babaake alimkaza eti atakua hasomi.
Bora hata umemwambia teh....Ngoja mtoto apate wakumbembeleza....Umri wako unakuruhusu. Mapenzi ni kubembelezana na kuvumiliana.
Ata mimi dem dem wangu ameniambia nimnunulie mapela kwa baati mbaya skua na ela. eti amekasilika ata nikipita nje kwao anaingiaga ndani. nilijalibu kumtuma lafiki yake lakini amekataa kwenda. uyo dem hana simu coz babaake alimkaza eti atakua hasomi.
Bora hata umemwambia teh....Ngoja mtoto apate wakumbembeleza....
Ukikua utaacha
UYU demu Yani Nipo nae kwa miezi 4 sasa tatizo Ana penda kununa na kuka silika kwa vitu vidogo yan mpaka nakeleka yan Ana weza ku nuna kwa kitu Ambacho akina ATA msingi tatizo kinacho nishinda mm uwa sipendi kubembeleza kabisa ...
Sasa Jana kanuna kisa eti ali taka nimtumie picha Yangu mm nika mwambia niko bize alafu nili kuwa niko nje ya mji si ndo aka nuna bana mm nika delete namba yake SASA NATAKA NIONE ATA NUNA MPAKA LINI NIONE UO MCHEZO WAKE UTAISHIA WAPI TOKA JANA MPKA LEO HAJA TUMA MSG NA MM NDO NIME DELETE NAMBA YAKE ILI NISI FIKILIE ATA KUMTAFUTA....nazani kwa hii staili ata jifunza kitu