TzComedy
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 890
- 700
Hakika kama ni vituko vya wapangaji basi kituko cha mpangaji huyu kimeshinda vituko vyote vya wapangaji, khaaa!!
Hiko hivi, huyu mpangaji mwenzetu ambae ni mwanaume na anamke na watoto, anakawaida ya kuamka usiku wa manane na kuanza kupiga chabo kwenye madirisha ya sisi wapangaji wenzie, hiyo 9, kumi ni pale siku nyingine wanapoamua kushirikiana yeye na mkewe kuufanya uo uchafu usiokubarika si tu kwetu sisi wapangaji wenzie bali hata kwa jamii nzima, jana walikuja dirishani kwangu mkewangu akaniambia usiwashitue niwakomeshe, mamaa alichukua maiki akaimbanayo kisha akaipeleka papuchi, basi mamaa akaanza miguno ya Nguruwe kwenye shamba la miwa, kha,ha,ha..hash.hhh!!!haa.hashii.., ghafla tunasikia mtu na mkewe wakigombana, baba Poul mboni unanizibia jamaniii..?
Hiko hivi, huyu mpangaji mwenzetu ambae ni mwanaume na anamke na watoto, anakawaida ya kuamka usiku wa manane na kuanza kupiga chabo kwenye madirisha ya sisi wapangaji wenzie, hiyo 9, kumi ni pale siku nyingine wanapoamua kushirikiana yeye na mkewe kuufanya uo uchafu usiokubarika si tu kwetu sisi wapangaji wenzie bali hata kwa jamii nzima, jana walikuja dirishani kwangu mkewangu akaniambia usiwashitue niwakomeshe, mamaa alichukua maiki akaimbanayo kisha akaipeleka papuchi, basi mamaa akaanza miguno ya Nguruwe kwenye shamba la miwa, kha,ha,ha..hash.hhh!!!haa.hashii.., ghafla tunasikia mtu na mkewe wakigombana, baba Poul mboni unanizibia jamaniii..?
