Huyu jamaa anaishi wapi?

Huyu jamaa anaishi wapi?

yassird200

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2025
Posts
901
Reaction score
1,568
Wakuuu waslaam.

Mudaa mwingine tuwaze ujinga,nipo natizama mechi ya watani baada ya gori la azizz nikapata wazo fln. Iko hivi hapa mezani kwangu wakati napata chakula na burudani kwa wakati mmoja ghfa hawa jamaa wakanivamia. Hawa jamaa popote penye harufu nzuri ama mbaya wapo haijalishi niporini ama mjn lkn haijulikani wana lala wapi?
Eti Nzi ANALALA WAPI? NAANAISHI WAPI?
Screenshot_20250513_165956_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom