Huyu hatofautiani na yule

Huyu hatofautiani na yule

Kwakivesa

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2016
Posts
284
Reaction score
401
Ukweli ni kwamba huyu hana tofauti na yule kabisa kuhusu demokrasia;ameruhusu watu waongee na kujadili na hata kukosoa;ingawa hata ukosoaji yeye anautafsiri kama ni matusi na wale wanaokosoa wanatishwa au wanapotea katika mazingira ya kutatanisha.

Yule alizuia kabisa hata kukutana;kwa hiyo ni wazi kwamba hawana tofauti yoyote
 
Back
Top Bottom