Ukweli ni kwamba huyu hana tofauti na yule kabisa kuhusu demokrasia;ameruhusu watu waongee na kujadili na hata kukosoa;ingawa hata ukosoaji yeye anautafsiri kama ni matusi na wale wanaokosoa wanatishwa au wanapotea katika mazingira ya kutatanisha.
Yule alizuia kabisa hata kukutana;kwa hiyo ni wazi kwamba hawana tofauti yoyote
Yule alizuia kabisa hata kukutana;kwa hiyo ni wazi kwamba hawana tofauti yoyote