Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,659
- 68,626
ππππππππππππππππππSasa hivi sina vigezo mradi awe ana pumua na awe na uke tu basi
ππππππππππππππππππSasa hivi sina vigezo mradi awe ana pumua na awe na uke tu basi
Mbona kama mzuri?
Too late ndugu
Serious hamna picha?
Mi mwanamke akifanya haya tu namwogopaga kama ukomaKwahiyo wasiotaka magari ndio wameshaolewa?
Wataachana tu....Ameshapata Mume Mkuu.
Acha maneno ya mkosaji.
Pole.
Karibu Mbeya, Uporotouporoto, wapoMi mwanamke akifanya haya tu namwogopaga kama ukoma
1. Avae nywele za bandia (wigi)
2. Kujipodoa podoa madude ya bandia
3. Amezalishwa kabla ya kuolewa (singo maza)
4. Tamaa ya pesa na kuomba omba.
Yaani sipendaginmazoea na wanawake wenye hayo mambo. Napenda natural lady
Itakuwa mume type ya barua t.omba,anamgegeda ipasavyo then anapiga chiniAmeshapata mume jana, so amefanikiwa lengo laki tumpongeze
Flat screen STAREX ya kichina.Msambwanda anao lkn
Ova
Mweka kucha bandia na nyusi bandia akiwa bungeni kutetea chama chake.Acha ukuda wewe aliekuambia kupaka make up na manyusi ya kubandika kunazuai kuolewa ni Nani?
Kwa taarifa yako wanaume wenyewe wanawanunulia wake zao....
Uwe unafanya research kabla hujatoa sababu zisizo sahihi.
Wanawake natural wamejaa mtaani na hawajaolewa utasema wamekosea kuwa natural na mikorogo inaolewa daily kitaani huku.
Achana na wanawake pambana na tozo.
Black flani amaizing....π