GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Eti " Watu wote wanaomiliki Gari aina za Vitz na IST wasijihesabie kuwa wanamiliki Magari bali waseme tu kwamba wanamiliki Majenereta yanayotembea kwani kwa Mwanaume aliye na akili timamu na mwenye Pesa hawezi kumiliki Gari dogo ila atamiliki Gari kubwa ili kuonyesha Uanamume wake ".
Kwa usalama wake kutoka kwa wenye hayo Magari Majenereta sitoweza kumtaja jina hapa ila kama Wewe ni mfuatiliaji mzuri wa Kawe Media fm ( siyo jina lake halisi ) jirani kabisa na Msasani Club Kawe utakuwa umeshamjua huyo Comedian.
Haya wenye hayo Magari Majenereta Vitz na IST hebu jitokezeni mtiririke na mserereke juu ya kauli hii je mnadhani alikuwa tu anatania au amemaanisha?
Nawasilisha.
Kwa usalama wake kutoka kwa wenye hayo Magari Majenereta sitoweza kumtaja jina hapa ila kama Wewe ni mfuatiliaji mzuri wa Kawe Media fm ( siyo jina lake halisi ) jirani kabisa na Msasani Club Kawe utakuwa umeshamjua huyo Comedian.
Haya wenye hayo Magari Majenereta Vitz na IST hebu jitokezeni mtiririke na mserereke juu ya kauli hii je mnadhani alikuwa tu anatania au amemaanisha?
Nawasilisha.