Huyu CCM haimwezi, ni untouchable

1. KWANZA NI TOTO LA KINYAMWEZI (MTOTO WA MJINI)
2. AMESOMA VIZURI (LAW, HAVARD)


KIUFUPI HAKAMATIKI WALA HAADABIKI NA HAKUNA WA KUMUWEZA.

WENGI WALIOSHUGHULIKIWA HAWANA SIFA ZA CHENGE.

Majibu yake tu ni dose tosha.
Hahahah aliwabana mawakili was serikali pale tume ya maadili jamaa hawakumwita tena
 
Huyu njamaa inasemekana Level ya fani ya Sheria aliyofikia ndio maana wanamuogopa,
Unaweza ukamgusa ukaishia kulipa faini zisizolipika,
Ndio maana wanamuacha tu
 
"Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu, sasa tatizo liko wapi? Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye bosi huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za Umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign an agreement without a security".
Andrew Chenge

Swali: Je, Ni Nani aliwatuma hawa jamaa kutia saini mikataba ya kulitia hasara taifa? Nani alimtuma Solex kuuza nyumba za umma?
 
Kawaida kwenye utendaji wa serikali, kunakuwa na kikao cha baraza la mawaziri. Rais ni mwenyekiti. Akisaini executive order, nani atathubutu kukataa? Kumbuka Nyoka Mwenye Makengeza ni mzoefu sana kwenye utendaji unaohusu mikataba na utekelezaji wa maamuzi ya pamoja.
 
Mpaka akihama mwenyewe ndo wataanza kumrushia mayai viza

Mpaka ameitwa gamba bado hajarushiwa tu hayo mayai? Muda mwingine uwe na haya hata kwa nafsi yako mwenyewe, unajidanganya mpaka wewe mwenyewe?
 
KASHFA ZOTE ULIZOMPA NAAMINI UNAAMINI ZINAMKABILI ILA AKIHAMIA CHAGADEMA TU UTAMSAFISHA RASMI AU SIO?
Mtu husafika kwa sababu ya udhaifu wa Taasisi zinazosimamia maadili na utamaduni wa muda mrefu wa CCM kulindana.Ukiona mkubwa ameshtakiwa CCM ujue si mwenzao.

Ukiwa CCM wewe ni malaika, huguswi.Ukitoka tu, utakiona cha mtemakuni. Kwa Chenge, awe nje au ndani, hakuna wa kusema fyo!
 
BWM, the man himself.
JMK, Mkwere man.
 
Haya maswali ulitakiwa ukamuulize Chenge
 
Boss Toosweet Nafikiri watu wengi wanachanganya hapa. Mfumo ndio unaozalisha Mafisadi na Ufisadi. Sio kinyume chake.

Pili, Ujinga na Maradhi na Umasikini nao unazalisha Ufisadi na Mafisadi hii ni according 2 Marehemu Mwalimu.

Sasa ukiunganisha point yangu ya 1 na 2 ndio unakuta Mtu anakubali tu ili mradi yeye apone au ashibe au mkono uende kinywani au watoto wale.


 
HATA AKIHAMIA CHAGADEMA NAKO WATAMSUJUDIA TU HAWAMUWEZI ZAID YA YOTE WATAAONA WAMEPATA LULU NA KUMFANYA AWE MGOMBEA WA URAISI 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…