Mwanabalagha
Senior Member
- Nov 11, 2015
- 196
- 235
Habari za jioni wakuu?
Kwa uwezo wa MUNGU natumain nyote mu wazima. Mi ni mgeni humu kwa kuleta post ila ni mwenyeji sana wakusoma post za watu mbalimbali humu tangu enzi za mwalimu.
Sasa picha linakuja hivi mimi ni kijana wa kiume, naishi kwangu yaan nimejitegemea tayari.
Katika kupitishapitisha macho sehemu mbalimbali, siku moja jicho langu likagota kwa msichana mrembo japo sio sana, ila anafaa kwa matumizi ya nyumbani.
Nilimfata nikachonga nae kidogo tukabadilishana namba na mambo mengine yakaendelea kama mnavyojua kifuatacho i.t.v ni.
Sasa tatizo alilonalo huyu mrembo ni mdomo, yaani mdomo unanuka sio kidogo, ukilala nae huwezi kuvumilia msogeleane hata pumzi anazotoa ni vivyohivyo, sasa hapa kinachonipa mawazo ni namna ya kumuambia.
Yaani sijui nianzeje ili asione labda namkashifu, manake anapenda sana romas, sasa akinisogezea tu uso wake huwa natamani kuzimia.
Naomba ushauri wakuu nifanye nini ili niepukane na hii dhahama? Manake inavyoonekana yeye mwenyewe hata hajijui kama ana tatizo hilo.
Naomba kuwasilisha.
Kwa uwezo wa MUNGU natumain nyote mu wazima. Mi ni mgeni humu kwa kuleta post ila ni mwenyeji sana wakusoma post za watu mbalimbali humu tangu enzi za mwalimu.
Sasa picha linakuja hivi mimi ni kijana wa kiume, naishi kwangu yaan nimejitegemea tayari.
Katika kupitishapitisha macho sehemu mbalimbali, siku moja jicho langu likagota kwa msichana mrembo japo sio sana, ila anafaa kwa matumizi ya nyumbani.
Nilimfata nikachonga nae kidogo tukabadilishana namba na mambo mengine yakaendelea kama mnavyojua kifuatacho i.t.v ni.
Sasa tatizo alilonalo huyu mrembo ni mdomo, yaani mdomo unanuka sio kidogo, ukilala nae huwezi kuvumilia msogeleane hata pumzi anazotoa ni vivyohivyo, sasa hapa kinachonipa mawazo ni namna ya kumuambia.
Yaani sijui nianzeje ili asione labda namkashifu, manake anapenda sana romas, sasa akinisogezea tu uso wake huwa natamani kuzimia.
Naomba ushauri wakuu nifanye nini ili niepukane na hii dhahama? Manake inavyoonekana yeye mwenyewe hata hajijui kama ana tatizo hilo.
Naomba kuwasilisha.