Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,841
Ni ukweli usiojificha kuwa,Yapo maisha baada ya uchaguzi.
Huyu Khadija Kopa anaimba nyimbo za kuisifu Ccm hapo hapo anaweka uchochezi kwa kusema"Wapinzania ni wadini na wakabila.
Hivyi maneno hayo yanawafunza nini watanzania?
Hivi ikulu tu ndio tunakubali inatugawa kwa kiwango hicho?
Tume pigeni marufuku huu wimbo mapema ni wa kichochezi sana.Naona kila ukiibwa Jakaya anapiga makofi na kuufurahia tu.
Huyu Khadija Kopa anaimba nyimbo za kuisifu Ccm hapo hapo anaweka uchochezi kwa kusema"Wapinzania ni wadini na wakabila.
Hivyi maneno hayo yanawafunza nini watanzania?
Hivi ikulu tu ndio tunakubali inatugawa kwa kiwango hicho?
Tume pigeni marufuku huu wimbo mapema ni wa kichochezi sana.Naona kila ukiibwa Jakaya anapiga makofi na kuufurahia tu.