Ukijitafuta ukajipata unavaa chochote mahali popote You don't give a fvck.Kijana tajiri lakini anavaa hovyo, utadhani anakwenda kwa masela kupiga stori za kijiweni.
Nilikuwa kijijini naandaa mashamba😄nami nimefurahi pia mkuu nikaona nikudokezee😄Dogo yani nimefurahi kichizi kukusoma tena. Nilitaka kukuanzishia uzi. Umepotea sana jamvin kitambo sana.
Karibu
• Aliyekuambia kwenda msibani lazima uvae suti ni nani 🤒🤒???Yani kabisa hupo serious hujaona maajabu. He is not a teenager. Ilitakiwa atinge suti.