Mwakikusi
Senior Member
- Jan 14, 2014
- 102
- 24
Hivi ndugu zangu nimekuwa nikiwaza kila siku kuhusu hii taasisi ya kijambazi ya kukopesha pesa watumishi wa serikali ni ya nani na kwa nini inaendelea kuishi wakati inawanyonya wafanyakazi kwa kutoa mikopo yenye riba kubwa kinyume na makubaliano yaliyofanyika na mteja?
Unapoomba mkopo maelewano yanakuwepo kuliko pale tu utakapoanza kukatwa kupitia mfumo mf ukikopa milion 3 riba yake ni zaidi ya milioni 4 kwa nini wapo hivi na wanaachiwa?Natamani wafanyakazi watakaoripoti nipate muda niwape semina wasikope fedha hizo hata siku moja yasije yakawakuta yaliyonikuta mimi.
Unapoomba mkopo maelewano yanakuwepo kuliko pale tu utakapoanza kukatwa kupitia mfumo mf ukikopa milion 3 riba yake ni zaidi ya milioni 4 kwa nini wapo hivi na wanaachiwa?Natamani wafanyakazi watakaoripoti nipate muda niwape semina wasikope fedha hizo hata siku moja yasije yakawakuta yaliyonikuta mimi.