Huu uhuni wa CCM kwenye Umeya wa Dar hadi lini?

wakuwaza

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
315
79
Nimeshangazwa sana na kitendo cha CCM kughushi ZUIO LA MAHAKAMA ili uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam usifanyike. Naona kama huo ni ujinga wa kupindukia. Wataendelea kuwadanganya Watanzania hadi lini?
 
Hi utoto na ujinga usiokuwa na maana,alafu wanatumia vyombo vya dola kuwanyamazisha upinzani.
 
Back
Top Bottom