Huu si ustaarabu hata kidogo

Huu si ustaarabu hata kidogo

JOMAM

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2012
Posts
330
Reaction score
139
Kwa mda hapa mwanza shughuli zetu za kimaisha zimekuwa haziendi kutokana na umeme, shirika la tanesco linatuweka kwenye mgao tusioufahamu, mara kadhaa kauli za kisiasa zimekuwa zikibainisha kuwa ndani ya taifa hakuna mgao,lakini hili linalo endelea hapa jijini ni zaidi ya mgao. hamuwezi jamani mkakata umeme toka asubuhi mpaka saa 9 usiku,sasa simuache hata kuurudisha kabisa! juzi mmeunguza vitu vyangu haitoshi wengine shughuli zetu za kiuchumi zinategemea umeme,hakuna mtu anaetusaidia kutunza familiya zetu nyie mwisho wa mwezi serikali inawalipa mshahara jamani tunafamiliya wengine,haya mambo mbona ya ki...nzi. Taifa linafanana na sacoss hivi ndivyo vitu vinavyofanya hatuelewi kwanini tumewapa dhamana baadhi yenu, walai nawaambia mnastahili kupingwa na jamii nzima,hili ndilo tatizo la monopoly campany. mambo ya kish...nzi kabisa!
 
Nchi hii ukiwa mwanasiasa au mtawala katika shirika la serikali, means wewe sio mstaarabu! ndio maana hayo yanatokea, kila sehemu ni ufisadi tu....

Yaani mpaka inakera
 
sa sijui hakuna maji kwenye mabwawa au ndo yamezidi?
 
Ningependa serikali ituambie ukweli kuwa ni mgao a ni matatzo ya k ufundi. Ili watanzania 2jue 2nachukua ha2a gan.
 
Back
Top Bottom