Kwa kuwa mgombea wetu mpendwa Mh Lowasa kashindwa kuupata urais na hivyo kushindwa kuiongoza nchi, CHADEMA tusiipoteze nafasi hiyo adimu ya kumpata kiongozi mwanamabadiliko kama Lowasa.
Kama alifaa kuliongoza taifa zima nadhani kukaongoza kachama ketu kwake itakuwa uji tu. Kwa jinsi ileile mlivyotuaminisha anafaa kuiongoza nchi, kamati kuu ituaminishe kuwa haikuwa inatuingiza chaka kwa kumteua kuwa Mwenyekiti au katibu mkuu wa CHADEMA.
Lowasaaaaaaaa!!! Mabadilikoooooooo!
Kama alifaa kuliongoza taifa zima nadhani kukaongoza kachama ketu kwake itakuwa uji tu. Kwa jinsi ileile mlivyotuaminisha anafaa kuiongoza nchi, kamati kuu ituaminishe kuwa haikuwa inatuingiza chaka kwa kumteua kuwa Mwenyekiti au katibu mkuu wa CHADEMA.
Lowasaaaaaaaa!!! Mabadilikoooooooo!