Hata mimi sijakataa kuwa umezungumzia mume na mke, lkn ukanishangaza kwa kudai iwe haki yenu KUFANYWA NJE. Je, mume kutoka nje anatakiwa akemewe au mkewe naye atoke nje?
Well then miss kugawa binti kwenda sawanamume, ikiwa umegundua mumeo analala na mwanamke mpya kila wiki na wewe unaona ndio busara ya kuja kuiongea kwenye kadamnasi kuwa na wewe ukalalwe na mwanaume mpya kila wiki ili muwe sawa?
Umesema HUENDA anashawishiwa, kwa hiyo umefikia kujitukana wewe binafsi na wanawake wenzio kuwa ukishawishiwa huwezi kukataa?
Tumia akili yako kuwaza mdada usiwe kama ajuza. Kila mwanamke akitegwa unafikiri kuna mwanaume atathubutu kutongoza nje ya ndoa yake?
Hujui hata unachokisema..na huenda haya ni matatizo ya kusoma bila kuushirikisha ubongo..wapi niliposema nasurpot infedility??..Sasa kama hujui mkeo/mumeo anakucheat unawezaje kuweka TEGO??...Lakini pia umefuatilia hujui hata aliyeombwa pesa ili awanasue alikuwa ni nani??....Na kwa akili yako nyembamba unadhani cheating inakomeshwa kwa huu ujinga wa kudhalilishana??...Sasa kama wewe hutembei na wake za watu aliyekuambia mie natembea na wake za watu nani??...Ninachosema mie ni kwamba hii mbinu sio sustainable..Jiulize watoto wa hii familia wataonekaje mtaani??..yes..umejua na dunia imetambua kuwa wewe ni fundi kwa kumdhalilisha mwenzio kiasi hiko mtarudiana???....
Kama unaamini kuwa si ubinadamu kwa kumtega mkeo, niambie ni vipi unaamini ni ubinadamu kwa mkeo kukutafutia ukimwi?Dhambi zipo na kufanya dhambi hakukuondelei ubinadamu wako
hahahahah! kumbe ma cheater mko wengi enh!
yaani kwanza uandish wako unaboa sana manake unamvictimize mtu as if tayari umemkuta. hivi unauhakika gani kama huyu Zinduna ni mwanamke? stuka rujo linatafutwa
....Hapo kwenye bold, ndio hasa ulipo ujinga wako... Mimi sioni tatizo, tena ingefaa na wamama waweke dawa waume zao wakitoka nje uume uvimbe uwe kama fenesi. stupid!
Wanaume hajui tu MKEO AKIMEGWA AIBU YAKE AIBU YAKO???????? AIBU YAKO MWENYEWEEEEEEEE UNAONEKANA SIO MJUZI WA MAMBO, FIMBO YAKO HAIUI NYOKA ATIIIIIIII!!!!!!!!! MPO HAPO!
Bora Kujisitiri aibu zenu kimya kimya!!!!!!!
WHATEVER YOU DO IN THE DARKNESS MUST COME TO LIGHT!!!!!!! Sijui walikua wanabanjuka pozi gani!!!! NA HARUFU YA MIMAVI CHOO CHA SHIMO!!!!!!!????? EEEEWW!!!!! SO GROSS!!!!!!
Kuna watu jehanamu watafanywa KUNI!!!!!!!!
Hata mimi sijakataa kuwa umezungumzia mume na mke, lkn ukanishangaza kwa kudai iwe haki yenu KUFANYWA NJE. Je, mume kutoka nje anatakiwa akemewe au mkewe naye atoke nje?
Well then miss kugawa binti kwenda sawanamume, ikiwa umegundua mumeo analala na mwanamke mpya kila wiki na wewe unaona ndio busara ya kuja kuiongea kwenye kadamnasi kuwa na wewe ukalalwe na mwanaume mpya kila wiki ili muwe sawa?
Umesema HUENDA anashawishiwa, kwa hiyo umefikia kujitukana wewe binafsi na wanawake wenzio kuwa ukishawishiwa huwezi kukataa?
Tumia akili yako kuwaza mdada usiwe kama ajuza. Kila mwanamke akitegwa unafikiri kuna mwanaume atathubutu kutongoza nje ya ndoa yake?
Re: BREAKING NEWS:- Atumbukia chooni akifanya mapenzi. Alimuacha mumewe hoi kitandani
Nimejifunza kitu kwako. Ili uwe mzuri MMU unatakiwa kuwa mnafiki.
Na leo mwisho wangu kuchangia majukwaa ya wanawake. Ngoja nirudi kwenye siasa
Re: BREAKING NEWS:- Atumbukia chooni akifanya mapenzi. Alimuacha mumewe hoi kitandani
Nimejifunza kitu kwako. Ili uwe mzuri MMU unatakiwa kuwa mnafiki.
Na leo mwisho wangu kuchangia majukwaa ya wanawake. Ngoja nirudi kwenye siasa
Wewe vipiiii!!!!!!!! Mbona WACHANGANYA TAMBI NA MBOGA ZA MAJANI!!!!!!!! UNAFIKI WANGU UPI HAPO SASA??????
Ofcouse KUFANYIA CHOONI NI GROSSS!!!!!!!!!!!, Na MKEO AKIFUMANIWA NI AIBU YAKO MWENYEWEEEE NDIO!!!!! NA WHAT EVER YOU DO IN THE DARKNESS WILL ALWAYS COME TO LIGHT!!!!!! Kila mwizi anajua 40 yake itafika, the issue is WHEN!!!!?
Bora usije kuchangia huku manake UNANICHOSHA KURUDIA KUTYPE VERY SIMPLE FACTS!!!!!!!!!
Hujui hata unachokisema..na huenda haya ni matatizo ya kusoma bila kuushirikisha ubongo..wapi niliposema nasurpot infedility??..Sasa kama hujui mkeo/mumeo anakucheat unawezaje kuweka TEGO??...Lakini pia umefuatilia hujui hata aliyeombwa pesa ili awanasue alikuwa ni nani??....Na kwa akili yako nyembamba unadhani cheating inakomeshwa kwa huu ujinga wa kudhalilishana??...Sasa kama wewe hutembei na wake za watu aliyekuambia mie natembea na wake za watu nani??...Ninachosema mie ni kwamba hii mbinu sio sustainable..Jiulize watoto wa hii familia wataonekaje mtaani??..yes..umejua na dunia imetambua kuwa wewe ni fundi kwa kumdhalilisha mwenzio kiasi hiko mtarudiana???....
Cheaters?!
Kwa hiyo kwa akili yako ya kuvuliwa chupi hovyo, ninafanana na cheater? Au hujui cheater maana yake?
Ninakuboa kwa sababu tu nachukia huu mchezo wenu na si vinginevyo. Kama unajua umeolewa una haja gani ya kwenda kuvuliwa nguo huko nje? Huyo mwanaume wenu naye ni kicheche kwa hiyo ana hofu kuwa one day tego litamkuta.
Character ya mtu huonekana kwa maneno pia. Wale walifumaniwa (kama ni kweli) wote wana makosa. Lkn solution yake sio kuhalalisha na mke wa yule malaya wa kiume akafanye the same. Huyu mwanzisha mada anasema mwanamke kadhalilishwa, sasa cha kujiuliza, kadhalilishwa akiwa kanisani au msikitini?
Wewe kama unajua hiyo dawa ilipo nakushauri nenda tu kanunue umuwekee mumeo. Siku atakayokamatwa hutakuwa umemdhalilisha, atakuwa amejidhalilisha kwa umalaya wake. Otherwise, ni akili kama za mbuzi, nguruwe na mbwa wanaoingilana hovyo bila mipaka.
kwa nini wanaotegeshewa iwe ni wanawake na si wanawake kuwategeshea waume zao?
Iko hivi, iwapo wanawake watakuwa na uwezo wa kuwategeshea waume zao, kuna uwezekano wakanaswa wanaume wengi kuliko kawaida tofauti na wanawake.
Nikuambie kitu Zinduna, kina mama kila siku tunabondwa licha ya kusalitiwa; wangapi tunawapeleka waume zetu police? Nitajibu
Very few. Why?
Tutaachwa na mwisho wa siku tutaishije?
Sasa fikiria nimemtegeshea Eiyer, akanaswa (kwanza jamii na ndugu wa mume watakavyoninanga), nikija kumnasua si talaka hapo hapo? Who dares?
Bora tungeitafuta aliyo propose HorsePower ya kumfanya asidise anavyochepuka. Akirudi nyumbani mambo kama kawa.