huu ni ugonjwa ama nini?

huu ni ugonjwa ama nini?

kidole007

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
3,094
Reaction score
1,877
Plz dont judge me jf

kila mtu anachagua mwenza (mpenzi) kwa utashi wake anayemeet standard zake

upande wangu wake za watu, wapenzi wa watu ndo chaguo langu namba moja

nikitongoza msichana akinambia sorry nna mtu wangu basi ndo attraction inazidi
niko radhi nitumie mbinu zozote nimvue underwear

wake za watu sasa sijielewi huu msukumo kwa mali za watu unatoka wapi
najua athari zake kwan kuna incident iliwahi tokea kuna jamaa ali find out kuwa nagegeda mke wake alinisaka hadi nikaamua kuama kwa muda sehemu nliyokuwa nakaa hadi mambo yalipo poa
nilijiapiza sitak tena mali za watu
but as soon as ntakutana na msichana afu nijue ana mtu uvimilivu una nishinda naanza tena wengine wana misimamo wakikaza sana napoteza wengine ndo ivo tena sitak nataka

sasa sijui hili ni pepo au nini coz hadi madem wa washikaj sometimes huwa nawatamani
sema hili nime weza lishinda kwa kukaa mbali nao mambo ya ushemeji kwangu stak hata washikaja wanashangaa nisivo kuwa na time na shemej zangu kumbe siri naijua mwenyewe

ushauri wana jF niweze epukana na tabia hii hatarishi
 
Nifuate na mie uuone mziki wa Remote.
 
Last edited by a moderator:
tafuta wako utulizane, we penda vya watu huku muda unaenda, ukija kutahamaki uzee huo. stuka, acha kupoteza muda.
 
unaogopa majukumu, unapenda awe na mtu mnasaidiana matumizi na gharama nyinginezo.
 
Plz dont judge me jf
kila mtu anachagua mwenza (mpenzi) kwa utashi wake anayemeet standard zake

upande wangu wake za watu, wapenzi wa watu ndo chaguo langu namba moja

Hata hakuna atakayekulaumu...huenda ndio uwezo wa akili yako ulipofikia hapo...
 
Kwel huo ni ugonjwa..endelea tu kula wake za watu na mashemeji zao mkuu. Endeleza mbinu zote had uwavue kadri unavyoendelea na dawa ya ugonjwa wako itakuwa inakaribia..mwishowe utatibiwa na waume zao.
 
Hamna kusingizia ugonjwa wala mapepo hapa wewe unapenda kumega kisela na kwa vile una aleji na majukum hata ukija kuwa na familia watoto utawasambazia wajomba,mashangazi,na ndugu wengine mkeo pia nahis utamkabidhi mshkaji amhudumie
 
Hamna kusingizia ugonjwa wala mapepo hapa wewe unapenda kumega kisela na kwa vile una aleji na majukum hata ukija kuwa na familia watoto utawasambazia wajomba,mashangazi,na ndugu wengine mkeo pia nahis utamkabidhi mshkaji amhudumie

ushindwe
 
Plz dont judge me jf

kila mtu anachagua mwenza (mpenzi) kwa utashi wake anayemeet standard zake

upande wangu wake za watu, wapenzi wa watu ndo chaguo langu namba moja

nikitongoza msichana akinambia sorry nna mtu wangu basi ndo attraction inazidi
niko radhi nitumie mbinu zozote nimvue underwear

wake za watu sasa sijielewi huu msukumo kwa mali za watu unatoka wapi
najua athari zake kwan kuna incident iliwahi tokea kuna jamaa ali find out kuwa nagegeda mke wake alinisaka hadi nikaamua kuama kwa muda sehemu nliyokuwa nakaa hadi mambo yalipo poa
nilijiapiza sitak tena mali za watu
but as soon as ntakutana na msichana afu nijue ana mtu uvimilivu una nishinda naanza tena wengine wana misimamo wakikaza sana napoteza wengine ndo ivo tena sitak nataka

sasa sijui hili ni pepo au nini coz hadi madem wa washikaj sometimes huwa nawatamani
sema hili nime weza lishinda kwa kukaa mbali nao mambo ya ushemeji kwangu stak hata washikaja wanashangaa nisivo kuwa na time na shemej zangu kumbe siri naijua mwenyewe

ushauri wana jF niweze epukana na tabia hii hatarishi

utakuja kuliwa wewe,cjui itakuaje bna cku iyoo...napita tuu
 
Nipo safarini, nenda nyumbani kwangu utamkuta wala usiogope.
 
Kaka huo si ugonjwa,
Bali fahamu zako na akili zako zimeji-tune hivyo na umezielekeza huko, japo kushawishika au kuvutiwa na mtu si lazima awe single hata kwa wake za watu wanamvuto, japo ni hatari sana kwa maisha yako ukizingatia hali ilivyobadilika sasa magonjwa n.k

USHAURI
Ushauri wangu hilo ni tatizo la kisaikolojia tu, unachopaswa kufanya sasa ni ku-tune akili zako na hisia zako upande mwingine hasa kwa wanawake singles na jizoeze kuwaona hivyo huku ukiwatoa hao wake za watu kwenye fahamu zako ili ufanikiwe otherwise hutafanikiwa na mwisho wa yote ni uwezekano wa kuishi kwa hofu kubwa
 
Kaka huo si ugonjwa,
Bali fahamu zako na akili zako zimeji-tune hivyo na umezielekeza huko, japo kushawishika au kuvutiwa na mtu si lazima awe single hata kwa wake za watu wanamvuto, japo ni hatari sana kwa maisha yako ukizingatia hali ilivyobadilika sasa magonjwa n.k

USHAURI
Ushauri wangu hilo ni tatizo la kisaikolojia tu, unachopaswa kufanya sasa ni ku-tune akili zako na hisia zako upande mwingine hasa kwa wanawake singles na jizoeze kuwaona hivyo huku ukiwatoa hao wake za watu kwenye fahamu zako ili ufanikiwe otherwise hutafanikiwa na mwisho wa yote ni uwezekano wa kuishi kwa hofu kubwa

asante sana ntajitahidi
 
Back
Top Bottom