Huo ndio uchambuzi wangu, naamini unaweza kuona kama ni porojo au uzembe wa serikali. Acha majunguHuo uchambuzi ulioambatanisha ulifanywa na nani? Kwa nini unasema ulifichwa? Mbona mkataba huu umechambuliwa na watu wengi tangia utoke, wakiwemo magwiji wa sheria kama Prof Shivji? Nini kipya kwenye hiyo document uliyo attach?
Wazalendo Mungu awabariki sanaWanabodi,
Teknolojia niliyotumia haikuni wezesha kuchapisha mada yangu kwenye mfumo wa kawaida wa Jamiiforums. Pakua document ya pdf niliyo ambatanisha ili kuweza kushiriki katika kujadili mkataba kati ya DP world na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nawatakia nanenane njema
Nimekuwa nikijuuluza mara nyingi sana.Hiyo IGA ni utapeli wa kiuwekezaji ndo maana watu wamelambishwa asali ili kulainisha mambo.
TPA ilitakiwa itangaze tender mpya ya kuendesha shughuli za makontena baada ya ku terminate kampuni ya TICTS. Hao TPA kwenye tender ndo wanatakiwa watoe vigezo na ufanisi wanaouhitaji halafu makampuni mbalimbali yaombe, siyo hii ambayo DP world ndo anaiwekea nchi masharti, huu ni uhuni.
Hili ni swali ambalo viongozi wa nchi hii wana wajibu wa kulijibu. Siyo swali dogo hata kidogo, ni swali la msingi kabisa.Nimekuwa nikijuuluza mara nyingi sana.
Tanganyika (Tanzania) ndiyo yenye rasilimali. Lakini koote huko imelazimika kufuata draft za so called wawekezaji. Why ?!. Tuna tatizo gani ?!. Upungufu wa akili na kujiamini au ni umasikini naturally.
Kwenye migodi, hivyo hivyo. Kwenye Gas na mafuta, mbuga zetu za wanyama ni hivyo hivyo. Tuna nini , umasikini wa mawazo au tunatetemekea weupe ?!.
Mbona umeshachelewa. Hitimisho la huu mjadala ni kesho kutwa, tarehe 10 August 2023 huko Mahakama Kuu ya Mbeya. Kiakacho amriwa huko itakuwa ndiyo.Huo ndio uchambuzi wangu, naamini unaweza kuona kama ni porojo au uzembe wa serikali. Acha majungu
HaionyeshiWanabodi,
Teknolojia niliyotumia haikuni wezesha kuchapisha mada yangu kwenye mfumo wa kawaida wa Jamiiforums. Pakua document ya pdf niliyo ambatanisha ili kuweza kushiriki katika kujadili mkataba kati ya DP world na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nawatakia nanenane njema
Kwangu haisomekiNimeweza kuusoma,umejadili kwa urahisi na lugha inayoeleweka.
Kazi nzuri!