Watanzani.a wenye mapenzi na nchi yao ni kama Mwigamba. Naomba uitoe makala hii kwenye magazeti ili watz wote wajue. CCM ni wanyama wakiongozwa na JK..anafuhi sana TZ inavyokwenda kombo kwa ajili yake. Hana tofauti na MUGABE,GBAGBO. Na hata zaidi ya Idd Amini Dadaa. Huyu ni dicteta kabisa kwa anayoyafanya. Ila mwisho wake unafika hata kabla ya 2015 amini nawaambia.