Husema simjali wala kumthamini nisipompatia pesa

Husema simjali wala kumthamini nisipompatia pesa

Cruel mpole

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
282
Reaction score
106
Dah!my love huyu,sijui anafikiri kwenye oblongata yake mimi nina bustani ya miti ya pesa?au nimemzoesha vibaya?anway it is called life and sometimes it may happen.Eti naomba mnijuze,kujali maana yake nini?au ndo kutoa mihela kila kukicha?kama ndo hivi,i have to give up.Kwanini wanawake hamliziki?Keep on your minds that a b/friend or husband is not an ATM machine.Jaribu kujishtukia basi,kuweni na aibu.Msiendekeze shida ninyi wanawake la sivyo,u gonna face the music na tamaa zenu za hela,kumbuka hakuna cha bure.Uongwe magari,hata uongwe bahari,kumbuka utailipia tu.Hakuna kitu cha bure.
 
Je ana chanzo cha pesa reliable?(Anafanya kazi etc?) Kama hapana kumuwezesha si jambo baya ila kwanza budget hela yako vyema then muwezeshe kulingana na budget yako.
 
Kujali/ Caring - identifying others needs and meet them well in advance.

Mkuu yawezekana kutokana na ufahamu au upeo wake huenda ndio anajua hivyo, Inakupasa kutumia vzr uanaume wako

Ndio maana maandiko yanatusa WANAUME tukae na wanawake kwa AKILI, Hivi umewahi kufikiria hiyo statement kwa undani wake??? Aliyekuumba wewe na akamuumba mwanamke pia, anakutahadharisha Wewe mwanaume kutumia akili yako inapokuja swala la Mwanamke? anajua vingine unaweza kutumia jasho lako ukaishi, ila hapa NEH.
 
No comment
No comment at all.
Kwanini kujiingiza jikoni
Ilhali huwezi kuhimili joto?

Bazazi
 
We akuchune mwingine unakuja kutupa kitchen party wengine...
Hayo yote uliyoyasema hapo kamwambie huyo anakuchuna...
Wengine tunayafaham hayo siku nyingi.
Jifunzeni kukaa chini kuongea na wenzi wenu sio kila kitu unaleta humu....
 
Huyo wa kwako ndo aridhiki,na unavyompa kwani hum'megi?!

Tabia inajengwa na mazoea,inawezekana wew mwenyewe ndo umemzoesha
 
kama anapiga sana ngumi za uso,mwite mgonge kighadabu halafu mpe ubao.
Nalog off
 
^^
Kuna njia mbili,,ama umpe anachotaka au umuweke kwenye OUT file
^^
 
Dah!my love huyu,sijui anafikiri kwenye oblongata yake mimi nina bustani ya miti ya pesa?au nimemzoesha vibaya?anway it is called life and sometimes it may happen.Eti naomba mnijuze,kujali maana yake nini?au ndo kutoa mihela kila kukicha?kama ndo hivi,i have to give up.Kwanini wanawake hamliziki?Keep on your minds that a b/friend or husband is not an ATM machine.Jaribu kujishtukia basi,kuweni na aibu.Msiendekeze shida ninyi wanawake la sivyo,u gonna face the music na tamaa zenu za hela,kumbuka hakuna cha bure.Uongwe magari,hata uongwe bahari,kumbuka utailipia tu.Hakuna kitu cha bure.
Mke mwema anatoka kwa Bwana kijana ila mume mwema anatoka CRDB,NMB,Stanbic,standard chartered,M-pesa n.k. km vp jivue gamba,they are almost everywhere co lazima awe yeye
 
Dah!my love huyu,sijui anafikiri kwenye oblongata yake mimi nina bustani ya miti ya pesa?au nimemzoesha vibaya?anway it is called life and sometimes it may happen.Eti naomba mnijuze,kujali maana yake nini?au ndo kutoa mihela kila kukicha?kama ndo hivi,i have to give up.Kwanini wanawake hamliziki?Keep on your minds that a b/friend or husband is not an ATM machine.Jaribu kujishtukia basi,kuweni na aibu.Msiendekeze shida ninyi wanawake la sivyo,u gonna face the music na tamaa zenu za hela,kumbuka hakuna cha bure.Uongwe magari,hata uongwe bahari,kumbuka utailipia tu.Hakuna kitu cha bure.
usilalamike sana bana unatuaibisha wanaume wenzio
 
Dah!my love huyu,sijui anafikiri kwenye oblongata yake mimi nina bustani ya miti ya pesa?au nimemzoesha vibaya?anway it is called life and sometimes it may happen.Eti naomba mnijuze,kujali maana yake nini?au ndo kutoa mihela kila kukicha?kama ndo hivi,i have to give up.Kwanini wanawake hamliziki?Keep on your minds that a b/friend or husband is not an ATM machine.Jaribu kujishtukia basi,kuweni na aibu.Msiendekeze shida ninyi wanawake la sivyo,u gonna face the music na tamaa zenu za hela,kumbuka hakuna cha bure.Uongwe magari,hata uongwe bahari,kumbuka utailipia tu.Hakuna kitu cha bure.
kumbe unajua kama hakuna kitu cha bure eeh? haya utoe pesa sasa kulipia huduma uliyokwisha pewa.
 
Kwaivo unataka umfuje mtoto Wa mwenzio bila huduma! Tena walalamikaji Wa aina hii huwa hawaoi na hawana mpango wa future. Wapo kwa ajil ya kufuja wenzao tu. Unataka umjali kwa lip? Maji ya uzima? Unayo? Km unayo mpe. Mwanaume beba majukumu yako hapo.
 
Back
Top Bottom