Huyu Mweshimiwa alishawahi kusema uchaguzi ukiwa wa huru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi Madaraka! inamaana hapa Nchi hakuna uchaguzi wa huru na haki?
Sijaelewa Siasa zetu zipoje? Tizame video hiyo fupi ambayo ilisambazwa sana kipindi cha uchaguzi 2015
Muombe Radhi pole pole ila next time ukae ukijua kuna tofauti ya kauli unapokuwa juani na unapokuwa kwenye AC au kivulini ndugu yngu kile kilikuwa Kipindi cha njaa ss neema tupu muache atuonyeshe rangi ya Asili yke
Muombe Radhi pole pole ila next time ukae ukijua kuna tofauti ya kauli unapokuwa juani na unapokuwa kwenye AC au kivulini ndugu yngu kile kilikuwa Kipindi cha njaa ss neema tupu muache atuonyeshe rangi ya Asili yke
Wakina Lema wangekabidhiwa nchi hii (wenyewe wanaiita nji)watanzania tungeuzwa mnadani mchana kweupee!! Mimi hata sioni sababu ya tume huru ya uchaguzi mpaka wapatikane wapinzani wastaarabu.
Wakina Lema wangekabidhiwa nchi hii (wenyewe wanaiita nji)watanzania tungeuzwa mnadani mchana kweupee!! Mimi hata sioni sababu ya tume huru ya uchaguzi mpaka wapatikane wapinzani wastaarabu.
Wanasiasa wengi si wakuwaamini lkn polepole ni mtu hatar sana ni mtu mjanjamjanja flan hivi hupaswi kumwamin sana maana kesho atabafilika tena. Mashabiki weng aliwapata aliposimama imara kutetea katiba mpya..leo hayupo uko...
Muombe Radhi pole pole ila next time ukae ukijua kuna tofauti ya kauli unapokuwa juani na unapokuwa kwenye AC au kivulini ndugu yngu kile kilikuwa Kipindi cha njaa ss neema tupu muache atuonyeshe rangi ya Asili yke
Muombe Radhi pole pole ila next time ukae ukijua kuna tofauti ya kauli unapokuwa juani na unapokuwa kwenye AC au kivulini ndugu yngu kile kilikuwa Kipindi cha njaa ss neema tupu muache atuonyeshe rangi ya Asili yke