mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Pamoja Na kutokuwa mwanasheria Kwa maana ya kujua Sheria hakika Hakimu aliyeisikiliza kesi hiyo Na hatimaye kutoa hukumu hiyo amenifanya niangue kicheko.Nakubaliana Na kauli ya mwanasheria wa Takukuru kuwa Rushes Mahakama ya kisutu imeshamiri.Mh.Rais kuendelea kuwa Na mahakimu wa aina ya huyu aliyeisikiliza kesi ya vigogo wa Tanesco juhudi za serikali yako zitakwama tunaomba hebu wahamishe weka mahakimu wenye uzalendo Na nchi hii.Tunaishauri Serikali yako ikate Rufaa.